Skip to main content

MZEE YUSUF AFUNIKA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE





Mfalme Mzee Yusuf akiimba na mashabiki wimbo wake mpya wa Mahaba Niue.

Mzee Yusuf akiwapagawisha mashabiki kwa wimbo wa My Valentine.

Muimbaji wa Jahazi, Leila akiimba Wimbo wa Fanya Yako.

Khadija Yusuf naye akiimba na mashabiki wimbo wake wa Hasidi Hana Sababu.

Mwansiti Mbwana akiwakonga na Wimbo wa Alipangalo Jalali.

Waimbaji wa Jahazi wakiwa katika picha ya pamoja.

Mashabiki wakimzunguka bi'dada (jina lake halikujulikana) akiyakata mauno.

Umati wa mashabiki wakipagawa na Jahazi Modern Taarab.

KUNDI linalotikisa kunako miondoko ya Pwani, Jahazi Modern Taarab likiongozwa na Mfalme Mzee Yusuf leo limefunika ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live katika shoo maalum ya Usiku wa Wapendanao 'Valentine's Day'.

Jahazi walianza kutawala jukwaa ambapo, Leila alikuwa wa kwanza kupanda na kuimba Wimbo wa Fanya Yako kisha akafuatiwa na Mwansiti na Fatuma Nyoro. Baadaye alipanda Mzee Yusuf kwa Wimbo wa My Valentine na kufanya ukumbi wote kulipuka kwa shangwe. Mzee Yusuf aliamsha shangwe zaidi baada ya kuimba Wimbo mpya wa Mahaba Niue.

Comments

Popular posts from this blog

MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2015 YOTE HAYA HAPA

Angalia yote hapa NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2015 EXAMINATION RESULT ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA KILIMANJARO LINDI MARA MBEYA MOROGORO MTWARA MWANZA PWANI RUKWA RUVUMA SHINYANGA SINGIDA TABORA TANGA MANYARA GEITA KATAVI NJOMBE SIMIYU   

VIDEO MPYA: AMANI - KIZUNGU ZUNGU

Angalia hapa

HUYU NDIE MWANAUME"[SHOGA] MWENYE MAKALIO MAKUBWA KULIKO WOTE DUNIANI,KAAMUA KUPOST HIZI PICHA INSTAGRAM.

Kutana na mwanaume mwenye makalio makubwa kama mwanamke.Kwa jina anaitwa Micah,ni mwanaume ambaye hipsi na makalio yake zinazidi hata zile za wanawake huwezi kuamini hebu tazama hapa utakubali tu mwenyewe.