Skip to main content

Posts

Showing posts from April, 2015

YANGA YAPEWA UBINGWA LIGI KUU YA VODACOM 2014/2015

  Yanga Bingwa 2015/2016!! Hizi ni baadhi ya headlines kwenye kurasa za michezo.. haikumaanisha kwamba matokeo ya mwisho yalikuwa yameamua hivyo, ila wanaspoti walipiga hesabu ya pointi ambazo yatari YANGA walikuwa wamejikusanyia mpaka mechi yao ya mwisho, hii ya leo ambayo Yanga wamekutana na Polisi Morogoro tayari imetoa matokeo. Yanga imefikisha jumla ya pointi 55 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine yoyote inayoshiriki ligi kuu msimu huu, kwa matokeo hayo basi Yanga wanakuwa mabingwa wa Ligi hiyo. Mechi hiyo kati ya Yanga na Polisi Moro ilikuwa ikipigwa katika Uwanja wa Taifa Dar.. mechi imekamilika kwa Yanga kutoka kifua mbele kwa goli 4-1. Hamis Tambwe leo aliweza kuing’arisha Yanga baada ya kupachika magoli matatu ambapo goli la kwanza alifunga dakika ya 40 kufuatia krosi ya Saimon Msuva, goli la pili alilifunga dakika ya 53 na goli la mwisho alifunga baada ya kupokea cross kutoka kwa Mrisho Ngassa. Msuva alikamilisha idadi ya mabao kwa kupiga bao la nne ambapo baadae daki

New Video: Mo Music – Nitazoea

        Angalia hapa video mpya kutoka kwa msanii Mo Music wimbo unaitwa ‘Nitazoea’

New Video: Joh Makini- Nusu Nusu

Rapper wa Weusi, Joh Makini Ijumaa iliyopita (April 24) aliachia video ya wimbo wake mpya ‘Nusu Nusu’ iliyofanywa Afrika Kusini ilitambulishwa ‘exclusively’ kwenye kituo cha kimataifa MTV Base na mapokeo yake yamekuwa ni mazuri kutoka kwa mashabiki mbalimbali ambao wamesifia wimbo na video.   Angalia hapa                                                            Download hapa

Ajira Mpya za Walimu Kwa Mwaka 2015>>>>>Waalimu wa masomo ya Sayansi wa shahada na stashahada

A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya   Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:-   i. walimu wa cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 11,366;   ii. walimu wa stashahada 4,151 na shahada 12,490 kwa ajili ya shule za sekondari   iii. mafundi sanifu maabara 264 kwa ajili kusimamia maabara na kuandaa masomo ya sayansi kwa vitendo katika shule za sekondari B: Utaratibu Ajira Mpya kwa Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Kila mwajiriwa mpya anatakiwa kuzingatia yafuatayo:-   i. walimu wenye sifa waliohitimu mafunzo kwa mwaka wa masomo 2013/14 wamepangwa pamoja na walimu wa sekondari wa masomo ya sayansi na hisabati waliohitimu miaka ya nyuma na wameomba kuajiriwa;   ii. kuripoti kuanzia tarehe 01 Mei hadi 09 Mei 2015 kwenye Ofisi za Wakurugenzi wa Halmashauri kwa ajili ya kuajiriwa na kupangwa vituo vya kazi;   iii. kuwasilisha vyeti halis

Ajira Mpya za Walimu Kwa Mwaka 2015>>>>Waalimu wa masomo ya sanaa na biashara ngazi ya shahada na stashahada

A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya   Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:-   i. walimu wa cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 11,366;   ii. walimu wa stashahada 4,151 na shahada 12,490 kwa ajili ya shule za sekondari   iii. mafundi sanifu maabara 264 kwa ajili kusimamia maabara na kuandaa masomo ya sayansi kwa vitendo katika shule za sekondari B: Utaratibu Ajira Mpya kwa Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Kila mwajiriwa mpya anatakiwa kuzingatia yafuatayo:-   i. walimu wenye sifa waliohitimu mafunzo kwa mwaka wa masomo 2013/14 wamepangwa pamoja na walimu wa sekondari wa masomo ya sayansi na hisabati waliohitimu miaka ya nyuma na wameomba kuajiriwa;   ii. kuripoti kuanzia tarehe 01 Mei hadi 09 Mei 2015 kwenye Ofisi za Wakurugenzi wa Halmashauri kwa ajili ya kuajiriwa na kupangwa vituo vya kazi;   iii. kuwasilisha vyeti halis

Ajira Mpya za Walimu Kwa Mwaka 2015>>>>Ajira za Walimu wa Cheti Shule za Msingi 2015

A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya   Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:-   i. walimu wa cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 11,366;   ii. walimu wa stashahada 4,151 na shahada 12,490 kwa ajili ya shule za sekondari   iii. mafundi sanifu maabara 264 kwa ajili kusimamia maabara na kuandaa masomo ya sayansi kwa vitendo katika shule za sekondari B: Utaratibu Ajira Mpya kwa Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Kila mwajiriwa mpya anatakiwa kuzingatia yafuatayo:-   i. walimu wenye sifa waliohitimu mafunzo kwa mwaka wa masomo 2013/14 wamepangwa pamoja na walimu wa sekondari wa masomo ya sayansi na hisabati waliohitimu miaka ya nyuma na wameomba kuajiriwa;   ii. kuripoti kuanzia tarehe 01 Mei hadi 09 Mei 2015 kwenye Ofisi za Wakurugenzi wa Halmashauri kwa ajili ya kuajiriwa na kupangwa vituo vya kazi;   iii. kuwasilisha vyeti halis

New Video: Matunzo Zero Unit Ft.Young Killer – Furaha Yetu

Angalia hapa video mpya ya Matunzo zero unit wakimshirikisha Young Killer wimbo unaitwa ‘Furaha Yetu’ Angalia hapa  na  Download

Professor Jay asema siasa haiwezi kumtenganisha na muziki, aizungumzia project mpya ya muziki ‘The Icon'

Rapper mkongwe Joseph Haule aka Professor Jay amesema siasa haiwezi kumtenganisha na muziki, na pia amejipanga kuja na project mpya ya muziki iitwayo ‘The Icon’. Professor ameiambia Mpekuzi kuwa, hata kama akipata nafasi ya ubunge atahakikisha mashabiki wake wanapata muziki kama kawaida.   “Nitaendelea kuwatumikia mashabiki wa muziki wangu kama kawaida, najua sasa hivi nadeni kubwa kwenye muziki, lakini hivi karibuni nitaachia kazi mpya kwa sababu hata huku nilikoingia nimeingia kutokana na muziki, kwahiyo hata nikiingia bungeni bado kazi nitaendelea kufanya, najua mashabiki wangu wanategemea muziki wetu kama chakula cha ubongo kwahiyo mimi bado nipo kwajili ya mashiki wangu, ” alisema Professor.   Pia Professor Jay amejipanga kuachia project yake mpya ya muziki ‘The I Con’ ambayo itazungumzia maisha ya muziki wake ambayo itawashirikisha wasanii wengine.   “Hii project itamuonyesha Professor Jay alikotoka mpaka alipofikia, kwa sababu naamini Professor Jay ni role model wa was

SLIMSAL Ft. G NAKO - SHAURI YAKO | Download

Sikiliza na upakue hapa                               Download

Filikunjombe Atishia Kumchapa Viboko Diwani

Mbunge wa jimbo la Ludewa mkoani Njombe, Mh. Deo Filikunjombe amesikitishwa na kitendo cha diwani wa kata ya Luilo wilayani humo, Bw. Mathew Kongo kwa kitendo cha kuwashinikiza wananchi wasishiriki shughuli za maendeleo. Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Lifua na Luilo katika kata ya Luilo wilayani Ludewa, Mh. Filikunjombe amesema baadhi ya viongozi wanakichafua Chama Cha Mapinduzi kwa kupandikiza chuki kwa wananchi kwa makusudi na kwa manufaa yao binafsi jambo ambalo amedai kamwe hatalifumbia macho.   Katika kata ya Luilo, Mh. Filikunjombe akakerwa na kitendo cha diwani wa kata hiyo, bw, Mathew Mkongo ambaye pia ni mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Ludewa, kuwashawishi wananchi wasishiriki kuchimba mashimo kwa ajili ya kusimika nguzo za umeme na kukwamisha jitihada zake na serikali kufikisha umeme kwa wananchi kwa mandeleo yao huku akitishia kumcharaza viboko hadharani.   Hata hivyo baadhi ya wananchi na viongozi akiwemo mtendaji wa kata hiyo ya Luilo, bw. Bosco

MAGAZETI ya TANZANIA leo April 26 2015 yameamka na hizi kwenye KURASA za michezo, DINI na hardnews !