Skip to main content

Posts

Showing posts from June, 2015

NEW VIDEO: Alikiba - Chekecha Cheketua (Official Video), Angalia Kupiatia simu yako na upakue hapa

BOFYA HAPA KUPATA MATOKEO YA UCHAGUZI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO JULAI 2015.

Tangazo Kwa UMMA (UCHAGUZI WA WANAFUNZI KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO MWAKA 2015).

BOFYA KUSOMA BOFYA HAPA KUPATA MATOKEO YA UCHAGUZI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO JULAI 2015.

Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano, 2015/ 2016>>YOTE HAYA HAPA

Matokeo ya Uchaguzi wa Kujiunga na kidato cha Tano Julai 2015. au  BOFYA HAPA Tangazo Kwa UMMA (UCHAGUZI WA WANAFUNZI KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO MWAKA 2015).

TV za Kenya marufuku kuonyesha hii video ya ‘Singida Dodoma’>>Angalia hiyo video hapa

Mzaliwa wa Tanzania Colonel Mustafa ni msanii wa siku nyingi kwenye muziki Kenya alikokulia na kutengeneza nyimbo nyingi zikiwemo ‘hey baby’ ft. Marya na Mtaani.com ft. Avril ambapo this time yuko kwenye headlines na hii video yake mpya ya Dodoma Singida. Kwenye Interview na millardayo.com Mustafa amethibitisha kwamba video yake mpya imefungiwa kuonyeshwa kwenye vituo vya TV kutokana na warembo walioonekana ndani yake, yani kutokana na mavazi waliyovaa na kujiachia. Mustafa amesema hajajutia uamuzi wa kuifanya hiyo video na sio kitu kibaya kwake, mbona za kina Nicki Minaj zilizowazi kuliko hizi zinapigwa na vituo hivyohivyo vya TV Kenya? hii inakuwa sio video ya kwanza kutangazwa kutoonyeshwa kwenye TV, zilizotangulia ni ‘nishike’ ya Sauti Sol na You guy ya ‘P unit’

Steve Nyerere ametangaza rasmi anautaka Ubunge 2015, maneno yake ninayo hapa

. Aliyekuwa mwenyekiti wa Bongo Movie Unit, Steve Nyerere ameingia kwenye list ya wagombea ubunge mwaka 2015 Kwenye interview na millardayo.com Steve amesema ‘ Kwanza ninataka kuwahakikishia watanzania sijakurupuka, nimekuwa  mwanachama wa chama cha Mapinduzi  umoja wa vijana almost miaka 25 na sasa hivi nina miaka 29 naelekea 30 lakini vilevile nimekuwa kamanda wa vijana miaka 10 tawi la bwani kinondoni, nimekuwa muhamasishaji  wa chama cha mapinduzi kitaifa kwa muda wa miaka 10′ ‘Sijakurupuka na wala sijatamkia sifa kwasababu labda nimeona mtu fulani amegombea, kinondoni kuna matatizo kadhaa  nani anaweza kuyatetea hayo matatizo? nitakuwa mtetezi pamoja na matatizo ya wasanii wetu, kuhusu kazi zangu za filamu nitakuwa nafanya kama kawaida huku nikiwa natumikia kazi za Bungeni’ ATAACHA KUIGIZA?! Amejibu >>> ‘Kazi yangu ya sanaa sitoweza kuiacha nadhani naweza kuwa ndio Mbunge wa kwanza yuko ndani ya Bunge na bado yuko kwenye sanaa anachez

Soma Yalichoandika magazeti ya Tanzania leo JUNE 28, 2015 Udaku, Hardnews na Michezo

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

Soma matukio makubwa ya magazeti ya udaku, michezo na habari muhimu za leo 19/06/2015 hapa

CHAMPION NIPASHE MICHEZO