Skip to main content

TV za Kenya marufuku kuonyesha hii video ya ‘Singida Dodoma’>>Angalia hiyo video hapa

Mzaliwa wa Tanzania Colonel Mustafa ni msanii wa siku nyingi kwenye muziki Kenya alikokulia na kutengeneza nyimbo nyingi zikiwemo ‘hey baby’ ft. Marya na Mtaani.com ft. Avril ambapo this time yuko kwenye headlines na hii video yake mpya ya Dodoma Singida.

Kwenye Interview na millardayo.com Mustafa amethibitisha kwamba video yake mpya imefungiwa kuonyeshwa kwenye vituo vya TV kutokana na warembo walioonekana ndani yake, yani kutokana na mavazi waliyovaa na kujiachia.

Mustafa amesema hajajutia uamuzi wa kuifanya hiyo video na sio kitu kibaya kwake, mbona za kina Nicki Minaj zilizowazi kuliko hizi zinapigwa na vituo hivyohivyo vya TV Kenya? hii inakuwa sio video ya kwanza kutangazwa kutoonyeshwa kwenye TV, zilizotangulia ni ‘nishike’ ya Sauti Sol na You guy ya ‘P unit’


Comments

  1. Antagon Blog: Tv Za Kenya Marufuku Kuonyesha Hii Video Ya ‘Singida Dodoma’>>Angalia Hiyo Video Hapa >>>>> Download Now

    >>>>> Download Full

    Antagon Blog: Tv Za Kenya Marufuku Kuonyesha Hii Video Ya ‘Singida Dodoma’>>Angalia Hiyo Video Hapa >>>>> Download LINK

    >>>>> Download Now

    Antagon Blog: Tv Za Kenya Marufuku Kuonyesha Hii Video Ya ‘Singida Dodoma’>>Angalia Hiyo Video Hapa >>>>> Download Full

    >>>>> Download LINK

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2015 YOTE HAYA HAPA

Angalia yote hapa NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2015 EXAMINATION RESULT ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA KILIMANJARO LINDI MARA MBEYA MOROGORO MTWARA MWANZA PWANI RUKWA RUVUMA SHINYANGA SINGIDA TABORA TANGA MANYARA GEITA KATAVI NJOMBE SIMIYU   

VIDEO MPYA: AMANI - KIZUNGU ZUNGU

Angalia hapa

HUYU NDIE MWANAUME"[SHOGA] MWENYE MAKALIO MAKUBWA KULIKO WOTE DUNIANI,KAAMUA KUPOST HIZI PICHA INSTAGRAM.

Kutana na mwanaume mwenye makalio makubwa kama mwanamke.Kwa jina anaitwa Micah,ni mwanaume ambaye hipsi na makalio yake zinazidi hata zile za wanawake huwezi kuamini hebu tazama hapa utakubali tu mwenyewe.