Skip to main content

Posts

Showing posts from October, 2015

MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2015 YOTE HAYA HAPA

Angalia yote hapa NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2015 EXAMINATION RESULT ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA KILIMANJARO LINDI MARA MBEYA MOROGORO MTWARA MWANZA PWANI RUKWA RUVUMA SHINYANGA SINGIDA TABORA TANGA MANYARA GEITA KATAVI NJOMBE SIMIYU   

Majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha Ardhi 2015/2016

Candidates Selected for Undergraduate Admission 2015/16 Joining Instructions Form Posted by Maarifa & FIKRA Yakinifu on  Wednesday, October 7, 2015   1 st Year Registration Form

Majina ya wanafunzi waliopangiwa chuo kikuu cha Dar es Salam-UDSM 2015/2016- Round 3

The following additional applicants have been selected to join various undergraduate degree programmes for the 2015/2016 academic year. The selected applicants should report at the Mwl. J.K. Nyerere Mlimani Campus on Saturday 31st October 2015 for the orientation week which  will start on Monday 2nd November 2015. Applicants selected for admission into Dar es Salaam University College of Education (DUCE) and Mkwawa University College of Education (MUCE) should report directly to the college's campuses in Chang'ombe and Iringa respectively on the same dates. Joining instructions and admission letters should be collected at the University campuses where one is admitted. DOWNLOAD/PAKUA HAPA Information on issuance of admission letters to students admitted at the university of Dar es Salaam for the academic year 2015/2016, Joining instructions     DOWNLOAD HAPA Majina ya wanafunzi waliopangiwa chuo kikuu cha Dar es Salam-UDSM 2015… http://t.co/N0v3XD

New Video: Vanessa Mdee – Never Ever

Angalia hapa Video mpya ya msanii Vanessa Mdee ngoma inaitwa “Never Ever”

Video: Matokeo ya Germany vs Georgia na France vs Denmark

Thomas Muller (kulia) akipongezwa na Andre Schurrle (kushoto) baada ya kufunga bao la kwanza Hapo jana timu ya taifa ya Ujerumani ilipata ushindi mwembamba wa bao 2-1 dhidi ya Georgia katika mechi ya group D na kujikatia tiketi za michuano ya ulaya (Euro 2016) itakayofanyika nchini Ufaransa. Bao la kwanza lilifungwa na Thomas Muller kwa njia ya penati dakika ya 44 huku la pili likifungwa na Max Kruse dakika ya 78 akipokea pasi ya goli kutoka kwa Mesut Ozil. Baadhi ya wachezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa wakimpongeza, Olivier Giroud baada ya kuifungia timu hiyo bao la kuongoza Wenyeji wa michuano ya hiyo, timu ya taifa ya Ufaransa, ilipata ushindi wa bao 2-1 dhidi ya Denmark yaliofungwa na Straika wa klabu ya Arsenal, Olivier Giroud, katika mchezo uliokuwa wakirafiki.

Wizkid kufanya show tarehe 31 mwezi huu kwa mara ya kwanza Tanzania

Msanii wa Nigeria, Wizkid anatarajia kutoa burudani kwa mara ya kwanza kwa mashabiki wake Tanzania tarehe 31 mwezi huu wa kumi kwenye tamasha la ‘Wizkid in Dar’ Kampuni ya King solomon Entertainment ikishirikiana na East Africa Radio wametoa taarifa hiyo mapema leo walipokua wakifanya mahojiano na waandishi wa habari ambapo wamesema kuwa tamasha hilo litafanyika viwanja vya Leaders club.

Stars yaifuata Algeria kwa Jasho

Blantyre, Malawi. Kipa Ally Mustafa ameibuka shujaa baada ya kuiongoza timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kusonga mbele kwa hatua ya pili ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2018, licha ya kufungwa bao 1-0 na Malawi kwenye Uwanja wa Kamuzu Banda. Katika mchezo huo wa jana kipa wa Stars, Mustafa ‘Barthez’ alifanya kazi kubwa kupangua mashuti ya washambuliaji wa Malawi katika muda wote wa mchezo. Dakika ya tisa, kipa Barthez alilazimika kufanya kazi ya ziada kuokoa shuti kali la mshambuliaji wa Malawi, Schumaker Kuwali baada ya walinzi wa Stars kushindwa kumkaba vema nyota huyo. Malawi ilipata bao la pekee dakika ya 44 lililofungwa na John Banda ambaye alipata mpira akiwa nje ya eneo la 18 na kupiga shuti lililokwenda moja kwa moja wavuni. Stars imesonga mbele kwa jumla ya mabao 2-1 baada ya kuichapa Malawi mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Taifa Jumatano iliyopita na sasa itakabiliana na Algeria katika mechi inayofuata ya kusaka tiketi ya kuingia hatua ya makundi kuwania kufuzu

KINGUNGE: MABADILIKO LAZIMA

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, jana kwa mara ya kwanza alipanda jukwaani kumnadi mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa na kusema mabadiliko ni lazima. Kingunge aliyasema hayo jijini Arusha kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya Shule ya Msingi Sinoni. Kingunge alihutubia huku mvua ikinyesha, lakini wananchi waliokuwa eneo hilo hawakuondoka. “Historia yangu, nimeshiriki katika kuleta mabadiliko na ninaamini kwa dhati ya moyo wangu kwamba kwa sasa mabadiliko katika Tanzania ni lazima, sisi t umekuwa huru kwa miaka 54 sasa. “Tulivyounda Tanu tulitaka chombo cha mabadiliko na Zanzibar  walivyounda Afro Shirazi walitaka kuwakomboa Waafrika wenzao, vyama vyote viwili vilitaka Watanzania tupate mabadiliko na baadaye kwakuwa waliamini katika mabadiliko, waliunganisha vyama na baadaye nchi, na mimi nilikuwa kwenye kamati ya watu 20 kuanzisha CCM. “CCM katika miaka ya karibuni kimekuwa na dalili zote kwam

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA CHUO KIKUU CHA MZUMBE MWAKA WA MASOMO 2015/2016

Angalia majina yote hapa   πŸ“₯πŸ“₯πŸ“₯πŸ“₯ ANGALIA HAPA 😎😎😎😎 Sharing is caring

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO CHA MOUNT MERU UNIVERSITY 2015/2016

Angalia majina yote hapa >>>> BONYEZA HAPA πŸ’¬πŸ’¬πŸ’¬πŸ’¬πŸ’¬πŸ’¬Sharin g is caring

TIA: STUDENT SELECTED TO JOIN BACHELOR DEGREE 2015/2016 ACADEMIC YEAR-FIRST SELECTION

  Angalia majina yote hapa >>> BONYEZA HAPA Share na rafiki yako hapo chini πŸ‘ƒπŸ‘ƒπŸ‘ƒπŸ‘ƒ Sharing is caring