Skip to main content

Wizkid kufanya show tarehe 31 mwezi huu kwa mara ya kwanza Tanzania

Msanii wa Nigeria, Wizkid anatarajia kutoa burudani kwa mara ya kwanza kwa mashabiki wake Tanzania tarehe 31 mwezi huu wa kumi kwenye tamasha la ‘Wizkid in Dar’



Kampuni ya King solomon Entertainment ikishirikiana na East Africa Radio wametoa taarifa hiyo mapema leo walipokua wakifanya mahojiano na waandishi wa habari ambapo wamesema kuwa tamasha hilo litafanyika viwanja vya Leaders club.

Comments

Popular posts from this blog

MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2015 YOTE HAYA HAPA

Angalia yote hapa NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2015 EXAMINATION RESULT ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA KILIMANJARO LINDI MARA MBEYA MOROGORO MTWARA MWANZA PWANI RUKWA RUVUMA SHINYANGA SINGIDA TABORA TANGA MANYARA GEITA KATAVI NJOMBE SIMIYU   

VIDEO MPYA: AMANI - KIZUNGU ZUNGU

Angalia hapa

HUYU NDIE MWANAUME"[SHOGA] MWENYE MAKALIO MAKUBWA KULIKO WOTE DUNIANI,KAAMUA KUPOST HIZI PICHA INSTAGRAM.

Kutana na mwanaume mwenye makalio makubwa kama mwanamke.Kwa jina anaitwa Micah,ni mwanaume ambaye hipsi na makalio yake zinazidi hata zile za wanawake huwezi kuamini hebu tazama hapa utakubali tu mwenyewe.