Skip to main content

Posts

Showing posts with the label Habari

Soma Magazeti ya Tanzania April 14, 2017 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU AJIRA MPYA ZA WALIMU WA MASOMO YA HISABATI NA SAYANSI KWA MWAKA 2016/2017

Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI imetangaza ajira mpya kwa Walimu wa masomo ya Hisabati na Sayansi leo tarehe 12 Aprili, 2017. Majina ya Walimu yaliyotangazwa yanatokana na tangazo la nafasi ya kazi ya Ualimu lililotolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia mnamo tarehe 01 Desemba, 2016. Jumla ya Walimu wapya wapatao 3,081 wakiwemo 1,544 ni wa ngazi ya Shahada na Walimu 1,537 ni wa Stashahada. Walimu hao watatakiwa kuripoti kwenye Ofisi za Wakurugenzi wa Halmashauri na baadaye kwenye Shule walizopangiwa kuanzia tarehe 18 Aprili, 2017 hadi tarehe 25 Aprili, 2017. Walimu wote waripoti wakiwa na vyeti halisi vya taaluma vya kidato cha nne (IV) na kidato cha sita (VI), vyeti halisi vya kitaalaam vya kuhitimu mafunzo ya Ualimu ngazi ya Stashahada na Shahada na Cheti cha kuzaliwa. Angalizo : i. Walimu waliopangiwa vituo ni wa masomo ya Hisabati na Sayansi waliohitimu hadi mwaka 2014/2015. ii. Kituo cha kazi cha mwalimu ni shule aliyopangiwa na sio m...

AJIRA MPYA ZA WALIMU WA HISABATI NA SAYANSI 2016/2017

Serikali kupitia Ofisi ya Rais TAMISEMI imetangaza ajira mpya kwa Walimu wa masomo ya Hisabati na Sayansi leo tarehe 12 Aprili, 2017. Orodha ya Walimu wa Shahada wa Ajira Mpya kwa Masomo ya Sayansi na Hisabati. Orodha ya Walimu wa Ajira Mpya kwa Masomo ya Sayansi na Hisabati.

Breaking News: Msani Roma Mkatoliki na wenzake waliotekwa wapatikana Wakiwa Salama

Muda mfupi  baada ya Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro kuwaambia waandishi wa habari kuwa hawezi kusema ni lini mwanamuziki  Roma na wenzake watapatikana, taarifa kutoka kwa mmiliki wa studio walipokamatiwa, amethibitisha kuwa wamepatikana. J Murder ambaye ndiye mmiliki wa Tongwe Records walipokuwa Roma na wenzake kabla ya kukamatwa na watu wasiojulikana, amesema kuwa wasanii hao wamepatikana na wapo katika Kituo cha Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam. Aidha,Mkuu wa polisi (OCD) wilaya ya Kinondoni, Abubakar Kunga amethibitisha kupatikana kwa wasanii hao, lakini kwa sasa amesema wanafanya nao mahojiano ya kipolisi katika kituo cha Oysterbay. Kupatikana kwao kumefuatia wito mkubwa uliokuwa ukipaishwa na wasanii wenzake na mashabiki kuhusu kuachiliwa huru. Awali, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Kamishina Simon Sirro alisema bado walikuwa wakiendelea na upelelezi wa tukio la kupotea (kutekwa) kwa msanii...

Taarifa Toka IKULU: Rais Magufuli Akutana na Kufanya Mazungumzo na Balozi wa EU, Roeland Van de Geer na Balozi wa Israel, Yahel Vilan.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 06 Aprili, 2017 amefanya mazungumzo na Balozi wa Umoja wa Ulaya hapa nchini Mhe. Roeland Van de Geer na kuushukuru umoja wa nchi hizo kwa kutoa msaada wa Euro Milioni 205 sawa na takribani Shilingi Bilioni 500 kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za maendeleo hapa nchini kwa kipindi cha miaka 4 kuanzia mwaka huu. Mhe. Rais Magufuli amesema kutolewa kwa fedha hizo kumethibitisha uhusiano na ushirikiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Umoja wa Ulaya na kwamba pamoja na kutoa fedha hizo umoja huo unatarajia kutoa fedha nyingine kiasi cha Euro Bilioni 1.2 kwa ajili ya kuendeleza viwanda, kilimo na uzalishaji wa nishati. “Nimefurahi sana kwamba uhusiano na ushirikiano wetu unajikita kushughulikia mambo ya msingi kwa Watanzania, nakuhakikishia kuwa fedha mnazotoa zitatumika vizuri na zitatoa mchango mkubwa katika maendeleo yetu” amesema Mhe. Dkt. Magufuli. Nae Mhe. Balozi Roeland Van de Geer amempon...

VIDEO:Msikilize Waziri Mwakyembe Akiagiza Nay wa Mitego Aachiwe Huru

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, ameliagiza Jeshi la Polisi kumuachia huru Msanii Ney wa Mitego ambaye alikuwa akishikiliwa na Jeshi hilo. Waziri Mwakyembe ameishauri pia BASATA kuondoa zuio lake dhidi ya wimbo wa ‘WAPO’ na badala yake uendelee kupigwa tu kama nyimbo nyingine. Akiongea na Wandishi wa Habari Dodoma, Dk. Mwakyembe amesema hata Rais Magufuli amefurahishwa na wimbo huo wa WAPO na kumshauri Msanii huyo kama inawezekana aendelee kutaja watu wengine kama vile wakwepa Kodi, wauza Unga, wanaotumia dawa za kulevya pamoja na watu wengine wasio na maadili mema katika jamii. ==>Msikilize hapo chini Akiongea

Dr. Shein: Sina Ugomvi na Maalim Seif na wala Sikushinikiza ZEC Ifute Matokeo

Wakati Wazanzibari leo wakiadhimisha miaka 53 ya Mapinduzi Zanzibar, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein (pichani), amebainisha kuwa mapinduzi hayo ndio alama, sifa, ukombozi na uhuru wa raia hao wa visiwa vya Zanzibar. Dk Shein amesema hana ugomvi na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad ambaye alikuwa mgombea urais kwa tiketi ya CUF katika uchaguzi mkuu wa mwaka juzi na kubainisha kuwa wanatofautiana kisiasa, ni jambo la kawaida na mazungumzo ya muafaka yalishafanyika. Pamoja na hayo, Rais huyo amebainisha kuwa anaamini amechaguliwa kihalali na Wanzanzibari, ambapo kufutwa na kurudiwa kwa uchaguzi wa Zanzibar mwaka 2015, hakukuwa na shinikizo lolote kutoka serikalini bali ni maamuzi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) baada ya kubaini mchezo mchafu kwenye uchaguzi huo. Akizungumza katika kipindi cha Funguka kilichorushwa na Azam TV jana usiku, Dk Shein alisema kilichohitajika ni mazungumzo ya pande mbili ambayo yalifanyika baina yao na mweleke...

VIDEO: Rais Magufuli akieleza sababu ya kuvunja Bodi ya Mamlaka ya Mapato TRA

RAIS John Magufuli amefichua siri ya hatua yake ya kuitumbua Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Amesema alilazimika kuchukua hatua hiyo baada ya bodi hiyo kuidhinisha Sh bilioni 26 kupelekwa kuwekwa kwenye akaunti maalumu( Fixed Account)  katika benki kadhaa za biashar [post_ads]

Trump selects candidates for CIA, attorney general: transition

U.S . President-elect Donald Trump has tapped three conservative loyalists and Army veterans to lead his national security and law enforcement teams, including Senator Jeff Sessions for attorney general and Representative Mike Pompeo as CIA director, a transition official said on Friday. The official said retired Lieutenant General Mike Flynn was chosen as the president-elect's national security adviser, a position that does not require U.S. Senate confirmation. All three men have accepted Trump's offer, and the announcements will be made formally later on Friday, according to the transition team member, who spoke on condition of anonymity. Pompeo, 52, a third-term congressman from Kansas, was a surprise pick to lead the Central Intelligence Agency. He was on the House of Representatives intelligence and energy and commerce committees, as well as the committee investigating the 2012 attack on the U.S. diplomatic compound in Benghazi, Libya. Pompeo has echoed Trump's critic...

Does Trump still plan on banning Muslims from entering the U.S.?

A spokesman for Donald Trump insists he doesn't want to ban "all" Muslims from entering the United States despite the fact that his own campaign website still calls for "a total and complete shutdown of Muslims entering the United States.” "We never said 'all' Muslims," Trump's spokesman Steven Cheung emailed USA TODAY Thursday night. The president-elect's Muslim ban was brought back into the spotlight after the December statement disappeared off his website and then reappeared Thursday afternoon. Trump's stance on Muslim immigration has been unclear in recent months after Vice President-elect Mike Pence told CNN in October that he was no longer calling for a ban on Muslims. "Well, because it's not Donald Trump's position now," Pence said during an Oct. 6 appearance on CNN's New Day when he was asked why he was no longer critical about Trump's proposed Muslim ban. In December, Pence cal...

Inside Hillary Clinton and Donald Trump’s Final Dash

Republican presidential candidate Donald Trump speaks during a rally at the Florida State Fair Grounds in Tampa, Fla. on Nov. 5, 2016. Hillary Clinton and Donald Trump began a final, frenetic dash as the presidential campaign entered its last weekend, with the Democratic nominee defending her lead against a late effort by her Republican opponent. Clinton began Saturday with a flurry of visits to campaign offices, a rally in a torrential Florida downpour and a dramatic send-off at night by a sequin-wearing pop star and cannon blasts of confetti. “We are all working our hearts out in this last sprint of the election,” she said before introducing the singer Katy Perry in Philadelphia to a crowd of 10,000. “There are still people whose doors need to be knocked on.” Trump held a frenzied four events in two time zones in a single day. In Reno, Nevada, he was rushed off stage by Secret Service amid a mistaken threat and returned minutes later after a scuffle in the crowd....

'I am not scared of jail' - Jacob Zuma

Johannesburg – An embattled President Jacob Zuma put on a brave face on Saturday at his first public appearance since the release of fresh evidence of alleged corruption at the top of the ANC government. "I have spent a lot of time in jail. I am not scared of jail, I have been there," said Zuma, who under apartheid was jailed for 10 years on Robben Island with Nelson Mandela. During a speech to hundreds of ANC supporters in Dumbe, Kwazulu-Natal, Zuma accused the opposition of "using the courts to scare the ANC". "We are not going to be intimidated," he said. On Wednesday, the office of the public protector released a report on Zuma that fuelled further calls, some from within the ANC, for the president to resign. The investigations focused on accusations that Zuma had allowed the Guptas to have undue influence over government, including letting them choose some cabinet ministers. The report prompted the opposition to schedule a no-con...

Tanzania's modern trailblazing bulldozer

Dr John Pombe Magufuli’s re-jigged anti-corruption machinery began this week with extra hydraulic turbo, a new blade and ripper, writes Victor Kgomoeswana. Tanzania was in the clutches of German-British colonial dealings when the first bulldozer was invented by James Porteous in 1884. Equipped with a blade in front - to push objects, rubble and soil, with a ripper in the back to loosen hard surfaces - this invention was first used in agriculture and road construction. Tanzania's President John Pombe Magufuli - the country's brand of bulldozer. Picture: Khalfan Said.  Credit:  AP However, it soon was kitted to deliver major projects like the Panama Canal's construction, and in World War I. Seventy-six years later, Tanzania's fifth president, Dr John Pombe Magufuli, was born - the country's brand of bulldozer. Nicknamed The Bulldozer’ for his disdain of sloppiness and in-exertion, he's gathering momentum in his crusade to lift Tanzania from its 117th p...