Skip to main content

Posts

Showing posts with the label Biashara

Mapato bandarini yaongezeka zaidi

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kupungua kwa mizigo bandarini kumeathiri si Tanzania pekee bali dunia nzima na kwamba kubanwa kwa mianya ya wizi kumesababisha kuongezeka kwa mapato kutoka Sh bil 458 Aprili mwaka huu kufikia Sh bil 517. Aidha, TRA imesema itaanza uhakiki wa namba za utambulisho wa mlipakodi (TIN) kutokana na kuwepo watu wenye namba mbili na wasiohakiki watalazimika kudaiwa kodi na TRA. Akizungumza katika mkutano na wanahabari jana, Kamishna wa TRA, Alphayo Kidata alisema upungufu huo wa mizigo bandarini umezikumba pia bandari za Beira, Msumbiji, Mombasa, Kenya na kwingineko na kusababisha mapato kupungua. “Lakini sisi pamoja na upungufu wa mizigo bandarini makusanyo yanazidi kuongezeka kutokana na kuzibwa mianya ya kukwepa kodi, hivyo napenda kuwapongeza wafanyakazi wote wa mamlaka na kusema kwa sasa hakuna mtu anayeweza kukwepa kodi na wale waliozoea wakae katika njia kuu,” alisema Kidata. Kidata alisema wananchi wanatakiwa kuwaunga mkono k...

Microsoft To Purchase LinkedIn For $26.2bn

The social network's shares soared by 49% on news of the acquisition, which is set to be completed by the end of the year LinkedIn, based in California, opened for business in December 2002 Microsoft has signed a surprise deal to buy the professional social network LinkedIn for $26.2bn (£18.3bn) in cash. In a statement, the tech company said LinkedIn would "retain its distinct brand, culture and independence" following the acquisition. Microsoft is to pay $196 (£139) per share for the growing company - a 50% premium on the stock's closing price last Friday. LinkedIn, which boasts more than 430 million users worldwide, allows people to network with fellow professionals, upload their CVs and apply for jobs. Jeff Weiner will continue to head the social network, and will report to Microsoft's chief executive Satya Nadella. The acquisition comes four years after LinkedIn was hit by a major cyber attack - and last month a hacker caused alarm by claimi...

Asilimia moja ya watu matajiri duniani

Bill Gates na Warren Buffet Huku wafanyibiashara na wanasiasa wa ngazi za juu wakikutana katika mkutano wa kiuchumi duniani mjini Davos wiki hii ,hisia tofauti zimetolewa kuhusiana na kuwepo kwa ukosefu wa usawa duniani bila kuisahau asilimia moja ya watu Matajiri duniani. Matajiri hao wanaishi katika visiwa vya kibinafsi,lakini je, hao ndio matajiri wanaojulikana Pekee?. Ripoti moja ya shirika la wahisani la Oxfam iliotolewa sanjari na mkutano huo wa Davos,ilizua hisia kali baada ya kubashiri kwamba asilimia moja ya matajiri duniani huenda ikamiliki idadi yote ya watu duniani. Ilitoa utafiti wake kutoka kwa benki ya Credit nchini Uswizi ambayo inakadiria jumla ya utajiri katika kila nyumba kuwa dola trillioni 263. Huo ni itajiri na wala si mapato. Watu matajiri kama vile Bill gates ,Warren Buffet na Mark Zuckerberg ni miongoni mwa asilimia 1. Aliko Dangote tajiri mkubwa barani Afrika   Lakini je, ni nani mwengine aliyeorodheshwa katika asilimia hiyo?. Kulingana na ripoti hiyo ya b...

Wakerwa shilingi kushuka thamani

Tanzania Sh.                                                                            VS U.S Dollar Dar es Salaam. Wasomi nchini wamezungumzia kuhusu kupanda kwa thamani ya Dola ya Marekani dhidi ya Shilingi ya Tanzania na kusema kunasababishwa na kuongezeka kwa uagizaji wa bidhaa kutoka nje na kusababisha fedha nyingi kutafutwa ili kulipia bidhaa hizo. Bidhaa hizo ambazo huingizwa nchini hulipiwa kwa dola, hivyo ukusanyaji fedha nyingi huhitajika ili kukidhi bei zinazoelekezwa na wafanyabiashara wa nje. Hii husababisha kuwa na uhitaji mkubwa wa dola kuliko shilingi. Thamani ya shilingi dhidi ya Dola ya Marekani jana iliu...