Skip to main content

Wajue mapacha ambao wanachangia mapenzi kwa mpenzi mmoja


Mapacha ambao huwezi kubaini tofauti yao kwa haraka
Mapacha ambao huwezi kubaini tofauti yao kwa haraka
Lucy na Anna ni mapacha ambao wanatokea jimboni Perth nchini Australia, mapacha hawa wamekuwa wakifanya vitu vinavyofanana kila wakati.


Lucy na Anna wakiwa wanajiremba
Lucy na Anna wakiwa wanajiremba
Kutokana na mwonekano wao mtangazaji mmoja wa televisheni kutoka japani amesema hawa ndiyo mapacha wa kipekee duniani.

Je mdau wangu wewe unaweza kuwatofautisha warembo hawa
Je mdau wangu wewe unaweza kuwatofautisha warembo hawa
Warembo hawa wameonekana kujizorea umaarufu duniani kutokana na kufanana kisura,kufanya kazi moja kwenye kituo cha kuwatunza watu wazee, kutumia akaunti moja ya facebook, kutumia kitanda kimoja, kupokea mshahara mmoja pia kuchangia mapenzi kwa mpenzi mmoja.

Mapacha hao wakionesha tabasamu  lao
Mapacha hao wakionesha tabasamu lao
Hata hivyo kwasasa mapacha hao wamealikwa katika mashindano ya kutafuta mapacha wanaofanana kila kitu nchini Japani na kuna uwezekano mkubwa kwa mapacha hao kuibuka washindi.

Mapacha hao wakiwa na mpenzi wao ambaye ni fundi umeme
Mapacha hao wakiwa na mpenzi wao ambaye ni fundi umeme

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIE MWANAUME"[SHOGA] MWENYE MAKALIO MAKUBWA KULIKO WOTE DUNIANI,KAAMUA KUPOST HIZI PICHA INSTAGRAM.

Kutana na mwanaume mwenye makalio makubwa kama mwanamke.Kwa jina anaitwa Micah,ni mwanaume ambaye hipsi na makalio yake zinazidi hata zile za wanawake huwezi kuamini hebu tazama hapa utakubali tu mwenyewe.

MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2015 YOTE HAYA HAPA

Angalia yote hapa NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2015 EXAMINATION RESULT ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA KILIMANJARO LINDI MARA MBEYA MOROGORO MTWARA MWANZA PWANI RUKWA RUVUMA SHINYANGA SINGIDA TABORA TANGA MANYARA GEITA KATAVI NJOMBE SIMIYU   

Fasihi simulizi na Chimbuko la Riwaya

                                                                    Fasihi simulizi na Andishi HISTORIA YA FASIHI SIMULIZI YA KIAFRIKA KWA MTAZAMO WA NADHARI ZA UTANDAWAZI, UTAIFA NA HULUTISHI . Utangulizi Fasihi simulizi kwa mujibu wa Mlokozi (1996), ni fasihi inayotungwa au kubuniwa kichwani na kuwasilishwa kwa hadhira kwa njia ya mdomo na vitendo bila kutumia maandishi. Hivyo fasihi simulizi inafungamana   na muktadha au mazingira fulani ya kijamii na kutawaliwa na muingiliano wa mambo kama vile Fanani, Hadhira, Fani inayotendwa, Tukio, Mahali pamoja na Wakati wa utendaji.             Balisidya (1983) anasema fasihi simulizi ni aina ya fasihi ambayo hutumia mdomo katika kuumbwa, kuwasilishwa na kusambazwa kwa wasikilizaji na watumiaji wake. Mt...