Wanamuziki Shilole na mpenzi wake Nuh Mziwanda wametua nchini Ubelgiji jana tayari kwa shoo yao ya nguvu ya Jumamosi hii nchini Ubelgiji. Wakiwa na nyuso za furaha hotelini walipofikia wameahidi kufanya bonge la shoo kwa pamoja. Wameomba wapenzi wao wajitokeze kwa wingi kushuhudia burudani ya uhakika toka Bongo.
HUYU NDIE MWANAUME"[SHOGA] MWENYE MAKALIO MAKUBWA KULIKO WOTE DUNIANI,KAAMUA KUPOST HIZI PICHA INSTAGRAM.
Kutana na mwanaume mwenye makalio makubwa kama mwanamke.Kwa jina anaitwa Micah,ni mwanaume ambaye hipsi na makalio yake zinazidi hata zile za wanawake huwezi kuamini hebu tazama hapa utakubali tu mwenyewe.
Comments
Post a Comment