Skip to main content

Jamaica yalala 1-0 mbele ya Uruguay

Timu ya taifa ya Uruguay imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Jamaica katika mchezo wa mashindano ya Copa America yanayoendelea huko nchini Chile.
Bao hilo pekee la Uruguay limefungwa na mchezaji Cristian Rodriguez katika dakika ya 52.
Kwa matokeo hayo Uruguay inaongoza kundi hilo ambalo lina timu za Paraguay na Argentina.
Hizi ni baadhi ya picha za mtanange huo.

Timu ya taifa ya Uruguay imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Jamaica katika mchezo wa mashindano ya Copa America yanayoendelea huko nchini Chile.
Bao hilo pekee la Uruguay limefungwa na mchezaji Cristian Rodriguez katika dakika ya 52.
Kwa matokeo hayo Uruguay inaongoza kundi hilo ambalo lina timu za Paraguay na Argentina.
Hizi ni baadhi ya picha za mtanange huo.
Mshambuliaji Cristian akishangilia mara baada ya kufunga bao
Mshambuliaji Cristian akishangilia mara baada ya kufunga bao

Mlinda mlango wa Jamaica akishuhudia mpiara unavyotinga wavuni
Mlinda mlango wa Jamaica akishuhudia mpiara unavyotinga wavuni

Wachezaji wa timu ya Uruguay wakishangilia mara baada ya kupata mchezaji mwenzao kufunga bao
Wachezaji wa timu ya Uruguay wakishangilia mara baada ya kupata mchezaji mwenzao kufunga bao
Wachezaji wa Uruguay wakishangilia kwa pamoja
Wachezaji wa Uruguay wakishangilia kwa pamoja

mashabiki wa Uruguay wakishangilia
mashabiki wa Uruguay wakitoa hamasa kwa wachezaji wao

uruguay6

Vikosi vya timu hizo vilikuwa ni:
Uruguay: Muslera, Maxi Pereira, Gimenez, Godin, Alvaro Pereira, Sanchez, Arevalo Rios, Lodeiro, Cristian Rodriguez, Rolan, Cavani.
Subs : Munoz, Fucile, Hernandez, De Arrascaeta, Stuani, Gaston Silva, Ricardo Pereira, Corujo, Coates, Gonzalez, Jonathan Rodriguez, Martin Silva.
Jamaica: Kerr, Lawrence, Morgan, Mariappa, Hector, McCleary, McAnuff, Austin, Barnes, Dawkins, Mattocks.
Subs : Miller, Gordon, Laing, Brown, Parkes, Gray, Williams, Ottey, Watson, Grant, Taylor, Thompson.

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIE MWANAUME"[SHOGA] MWENYE MAKALIO MAKUBWA KULIKO WOTE DUNIANI,KAAMUA KUPOST HIZI PICHA INSTAGRAM.

Kutana na mwanaume mwenye makalio makubwa kama mwanamke.Kwa jina anaitwa Micah,ni mwanaume ambaye hipsi na makalio yake zinazidi hata zile za wanawake huwezi kuamini hebu tazama hapa utakubali tu mwenyewe.

MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2015 YOTE HAYA HAPA

Angalia yote hapa NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2015 EXAMINATION RESULT ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA KILIMANJARO LINDI MARA MBEYA MOROGORO MTWARA MWANZA PWANI RUKWA RUVUMA SHINYANGA SINGIDA TABORA TANGA MANYARA GEITA KATAVI NJOMBE SIMIYU   

Fasihi simulizi na Chimbuko la Riwaya

                                                                    Fasihi simulizi na Andishi HISTORIA YA FASIHI SIMULIZI YA KIAFRIKA KWA MTAZAMO WA NADHARI ZA UTANDAWAZI, UTAIFA NA HULUTISHI . Utangulizi Fasihi simulizi kwa mujibu wa Mlokozi (1996), ni fasihi inayotungwa au kubuniwa kichwani na kuwasilishwa kwa hadhira kwa njia ya mdomo na vitendo bila kutumia maandishi. Hivyo fasihi simulizi inafungamana   na muktadha au mazingira fulani ya kijamii na kutawaliwa na muingiliano wa mambo kama vile Fanani, Hadhira, Fani inayotendwa, Tukio, Mahali pamoja na Wakati wa utendaji.             Balisidya (1983) anasema fasihi simulizi ni aina ya fasihi ambayo hutumia mdomo katika kuumbwa, kuwasilishwa na kusambazwa kwa wasikilizaji na watumiaji wake. Mt...