
Waziri Mkuu wa zamani, Edward
Lowassa, akiwapungia mkono wanachama wa Chama Cha Mpinduzi (CCM) na
wananchi baada ya kupokea majina ya wanachama zaidi ya 5000 waliomdhani
kugombea Urais mkoani Simiyu jana.

Wanachama wa Chama cha Mapinduzi
(CCM) wakicheza baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa
kukabidhiwa majina ya wanachama wa chama hicho zaidi ya 5000 waliomdhani
kugombea Urais mkoani Simiyu. Leo Lowassa atakuwa mkoani Shinyanga
Kusaka wadhamini.
Comments
Post a Comment