Skip to main content

Messi amwagia sifa staa wa Man Utd

Messi amwagia sifa staa wa Man Utd

Katika mahojiano aliyofanyiwa na gazeti la mtandao wa Shortlist, Lionel Messi, amemtaja staa wa Man Utd, Wayne Rooney, kama miongoni mwawachezaji bora wa Dunia kutokana na kipaji cha hali ya juu alichonacho uwanjani hatakama akihamia ligi kuu nchini Hispania.

Alipoulizwa swali ni kwanini England inashindwa kuzalisha wanasoka bora wenye kiwango cha Dunia alijibu;
‘sidhani kama swala hilo linaukweli juu yake, kwa mfano Rooney ni mchezaji mwenye ubunifu wa hali ya juu nasidhani kama klabu yake ya Man Utd itaweza kumruhusu ahamie katika klabu nyingine kirahisi kutoka na mchango wake katika kikosi.’
Mpaka sasa Rooney ameshafunga magoli 47 katika timu yake ya taifa huku akiifukuzia rekodi Booby Charlton ya magoli 49,
Jumapili hii England itamenyana na Slovenia katika mpambano wa kuisaka tiketi ya kushiriki michuano ya Euro 2016 nchini Ufaransa na Rooney anatazamiwa kupunguza ‘gap’ la magoli mawili anayozidiwa na mkongwe Bobby Charlton.


Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIE MWANAUME"[SHOGA] MWENYE MAKALIO MAKUBWA KULIKO WOTE DUNIANI,KAAMUA KUPOST HIZI PICHA INSTAGRAM.

Kutana na mwanaume mwenye makalio makubwa kama mwanamke.Kwa jina anaitwa Micah,ni mwanaume ambaye hipsi na makalio yake zinazidi hata zile za wanawake huwezi kuamini hebu tazama hapa utakubali tu mwenyewe.

MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2015 YOTE HAYA HAPA

Angalia yote hapa NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2015 EXAMINATION RESULT ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA KILIMANJARO LINDI MARA MBEYA MOROGORO MTWARA MWANZA PWANI RUKWA RUVUMA SHINYANGA SINGIDA TABORA TANGA MANYARA GEITA KATAVI NJOMBE SIMIYU   

Fasihi simulizi na Chimbuko la Riwaya

                                                                    Fasihi simulizi na Andishi HISTORIA YA FASIHI SIMULIZI YA KIAFRIKA KWA MTAZAMO WA NADHARI ZA UTANDAWAZI, UTAIFA NA HULUTISHI . Utangulizi Fasihi simulizi kwa mujibu wa Mlokozi (1996), ni fasihi inayotungwa au kubuniwa kichwani na kuwasilishwa kwa hadhira kwa njia ya mdomo na vitendo bila kutumia maandishi. Hivyo fasihi simulizi inafungamana   na muktadha au mazingira fulani ya kijamii na kutawaliwa na muingiliano wa mambo kama vile Fanani, Hadhira, Fani inayotendwa, Tukio, Mahali pamoja na Wakati wa utendaji.             Balisidya (1983) anasema fasihi simulizi ni aina ya fasihi ambayo hutumia mdomo katika kuumbwa, kuwasilishwa na kusambazwa kwa wasikilizaji na watumiaji wake. Mt...