Video: Real Madrid 8-0 Malmo, Ronaldo afanya mauaji
Cristiano Ronaldo akishangilia goli dhidi ya Malmo
Mreno huyo alifunga magoli matatu ndani ya dakika 11kipindi cha
kwanza na kuongeza jingine kipindi cha pili na kufikisha magoli 88 Ligi
ya Mabingwa
Cristiano Ronaldo amefunga magoli manne wakati Real Madrid ilipoiangamiza Malmo na kuufanya uwe ushindi mkubwa katika historia ya makundi Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Kutana na mwanaume mwenye makalio makubwa kama mwanamke.Kwa jina anaitwa Micah,ni mwanaume ambaye hipsi na makalio yake zinazidi hata zile za wanawake huwezi kuamini hebu tazama hapa utakubali tu mwenyewe.
Angalia yote hapa NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2015 EXAMINATION RESULT ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA KILIMANJARO LINDI MARA MBEYA MOROGORO MTWARA MWANZA PWANI RUKWA RUVUMA SHINYANGA SINGIDA TABORA TANGA MANYARA GEITA KATAVI NJOMBE SIMIYU
Comments
Post a Comment