Skip to main content

MASTAA WA UJERUMANI WASHINDWA KUTAMBA MBELE YA POLAND


Ujerumani na Poland wamecheza kwa mara ya kwanza mchezo uliomalizika kwa sare ya bila kufungana baada ya mchezo wao wa Euro 2016 kumalizika huku kila timu ikiwa imeshindwa kupata bao katika kupambana kufuzu hatua ya mtoano utoka kwenye makundi.
Timu zote sasa zinapointi 4 huku zikiwa zimesaliwa na mechi moja mkononi ambao unawezeza kuwahakikishia kufuzu kwa hatua inayofuata huku Switzerland iliyo nafasi ya tatu ikiwa na pointi tatu ikitegemea matokeo mengine hata kama itashinda mchezo wake wa mwisho.
Striker wa Poland Arkadiusz Milik alipoteza nafasi nafasi ya wazi kuifungia timu yake sekunde chache baada ya kuanza kipindi cha pili, mpira wa kichwa alioupiga akiwa hatua nne kutoka golini ukienda nje ya goli wakati kila mtu akiamini nyota huyo angepachika bao.
Wachezaji wawili wa Ujerumani Mario Gotze na Mesut Ozil walishindwa kufunga magoli baada ya Lukasz Fabianski kuchukua nafasi ya Wojciech Szczesny aliyeumia huku mashambuliaji wa Poland Milik akipoteza nafasi nyingine ya wazi kwenye usiku ambao angeiandikia historia nchi yake kwenye uwanja wa Stade de France.
Matokeo hayo yanaisukumiza Ukraine nje ya mashindano hayo kwasababu bado haina pointi hadi sasa.

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIE MWANAUME"[SHOGA] MWENYE MAKALIO MAKUBWA KULIKO WOTE DUNIANI,KAAMUA KUPOST HIZI PICHA INSTAGRAM.

Kutana na mwanaume mwenye makalio makubwa kama mwanamke.Kwa jina anaitwa Micah,ni mwanaume ambaye hipsi na makalio yake zinazidi hata zile za wanawake huwezi kuamini hebu tazama hapa utakubali tu mwenyewe.

MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2015 YOTE HAYA HAPA

Angalia yote hapa NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2015 EXAMINATION RESULT ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA KILIMANJARO LINDI MARA MBEYA MOROGORO MTWARA MWANZA PWANI RUKWA RUVUMA SHINYANGA SINGIDA TABORA TANGA MANYARA GEITA KATAVI NJOMBE SIMIYU   

Fasihi simulizi na Chimbuko la Riwaya

                                                                    Fasihi simulizi na Andishi HISTORIA YA FASIHI SIMULIZI YA KIAFRIKA KWA MTAZAMO WA NADHARI ZA UTANDAWAZI, UTAIFA NA HULUTISHI . Utangulizi Fasihi simulizi kwa mujibu wa Mlokozi (1996), ni fasihi inayotungwa au kubuniwa kichwani na kuwasilishwa kwa hadhira kwa njia ya mdomo na vitendo bila kutumia maandishi. Hivyo fasihi simulizi inafungamana   na muktadha au mazingira fulani ya kijamii na kutawaliwa na muingiliano wa mambo kama vile Fanani, Hadhira, Fani inayotendwa, Tukio, Mahali pamoja na Wakati wa utendaji.             Balisidya (1983) anasema fasihi simulizi ni aina ya fasihi ambayo hutumia mdomo katika kuumbwa, kuwasilishwa na kusambazwa kwa wasikilizaji na watumiaji wake. Mt...